Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akihutubia katika Mkutano wa 26 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja
wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi COP26
unaoendelea katika Mji wa Glasgow, Scotland leo tarehe 02 Novemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza
na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Dkt. Asha-Rose Migiro wakati akielekea
kwenye Mkutano maalumu wa Viongozi Wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 26 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu
Mabadiliko ya Tabianchi COP26
unaoendelea katika Mji wa Glasgow, Scotland leo tarehe 02 Novemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza katika Mkutano huo maalumu wa Viongozi Wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 26 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu
Mabadiliko ya Tabianchi COP26
unaoendelea katika Mji wa Glasgow, Scotland leo tarehe 02 Novemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mbalimbali Wanawake katika Mkutano huo maalumu wa COP 26 unaoendelea katika Mji wa Glasgow, Scotland leo tarehe 02 Novemba, 2021.
PICHA NA IKULU.
No comments:
Post a Comment